- Видео 2 387
- Просмотров 11 030 343
Jay Tv Tanzania
Танзания
Добавлен 10 ноя 2016
Jay Media ni Chanel inayofanya kazi ya kukusogezea habari na matukio muhimu yote duniani, ili kukurahisishia mtazamaji wake kuendana na utandawazi uliopo hivi sasa KWA MATANGAZO WASILIANA NASI 0754641061 AU 0655641061
"PIGO KUBWA" RC KILIMANJARO Siku Tixon Nzunda Anapata AJALI MBAYA ya Gari NILIZUNGUMZA Naye Mara 3
MAZISHI YA RAS TIXON NZUNDA YALIYOFANYIKA KATIKA HALMASHAURI MJI TUNDUMA
Просмотров: 1 116
Видео
MANENO ya CHONGOLO Kwenye Mazishi ya TIXON NZUNDA Aliyefarik kwenye AJALI MBAYA ya GARI
Просмотров 2957 часов назад
MAZISHI YA RAS TIXON NZUNDA YALIYOFANYIKA KATIKA HALMASHAURI MJI TUNDUMA
Maneno ya NCHIMBI Kwenye MAZISHI YA TIXON NZUNDA Aliyefariki kwenye Ajali Mbaya ya Gari KILIMANJARO
Просмотров 7007 часов назад
MAZISHI YA RAS TIXON NZUNDA YALIYOFANYIKA KATIKA HALMASHAURI MJI TUNDUMA
WASIFU wa TIXON NZUNDA; Kuzaliwa Hadi ANAFARIKI kwa AJALI Mbaya ya GARI
Просмотров 4,1 тыс.7 часов назад
MAZISHI YA RAS TIXON NZUNDA YALIYOFANYIKA KATIKA HALMASHAURI MJI TUNDUMA
Huzuni: WATOTO wa TIXON NZUNDA Walivyoimba kwa UCHUNGU Mbele ya JENEZA la BABA Yao "Simanzi Yatawala
Просмотров 13 тыс.7 часов назад
MAZISHI YA RAS TIXON NZUNDA YALIYOFANYIKA KATIKA HALMASHAURI MJI TUNDUMA
MKE wa Marehemu RAS Tixon Nzunda Akwama Kwenye JENEZA la MUMEWE "simanzi na vilio Vyatawala"
Просмотров 13 тыс.7 часов назад
MAZISHI YA RAS TIXON NZUNDA YALIYOFANYIKA KATIKA HALMASHAURI MJI TUNDUMA
VILIO VYATAWALA MAZISHI YA RAS WA KILIMANJARO TIXON NZUNDA
Просмотров 3,1 тыс.7 часов назад
Mazishi ya RAS KILIMANJARO Yaliyofanyika katika halmashauri ya Mji Tunduma #Mazishi #TixonNZUNDA #Tunduma
WAKANDARASI WAZAWA Kujenga Barabara za Lami- TANROADS SONGWE
Просмотров 32412 часов назад
#TANROADS #SONGWE #TANZANIA
M/KITI Halmashauri Tunduma AUNGURUMA "Gari la Zima Moto" Apigiwa SHANGWE Zito
Просмотров 20916 часов назад
#Tunduma #Halmashauri #Momba #songwe
CCM MOMBA Yavunja NGOME ya CHADEMA Tunduma "Endeleeni Kuwapuuza"
Просмотров 50316 часов назад
#Ccm #Momba #Chadema #Tunduma
TUKIO KUBWA la Kihistoria Tunduma JESHI LA ZIMAMOTO Lakabidhiwa GARI kwa Mara ya KWANZA
Просмотров 82819 часов назад
Halmashauri ya Mji Tunduma Yakabidhi Gari la Zimamoto #Tunduma #Gari #Zimamoto #songwe #subscribe #jaytvtanzania
CHIKUMBARAGA Afanya Tukio la Kushangaza Tunduma "NI MTU WA TOFAUTI NA WAMFANO" Awachangia
Просмотров 41521 час назад
#Yanga #Tunduma #songwe #live #subscribe #jaytvtanzania
YANGA Yaandika Historia Mpya kwa KUJENGA OFISI YA KISASA Tunduma, Ni Mfano wa Kuigwa kwa SIMBA
Просмотров 2 тыс.21 час назад
WANACHAMA WA TIMU YA YANGA TUNDUMA KUJENGA OFISI YA KISASA #YANGA #TUNDUMA #OFISI #songwe #SIMBA
CCM SONGWE "Jiepushe KUINGIA kwenye Mfumo DC MPYA MOMBA"
Просмотров 426День назад
#CCM #SONGWE #live tanzania #subscribe #jaytvtanzania
KWA MARA ya Kwanza DC MOMBA Atoa Kauli BAADA ya KUAPISHWA
Просмотров 283День назад
KWA MARA ya Kwanza DC MOMBA Atoa Kauli BAADA ya KUAPISHWA
MAAGIZO 7 YA RC CHONGOLO KWA DC MPYA MOMBA "Aanza na Haya"
Просмотров 333День назад
MAAGIZO 7 YA RC CHONGOLO KWA DC MPYA MOMBA "Aanza na Haya"
#Live: UAPISHO WA MKUU MPYA WA WILAYA MOMBA
Просмотров 450День назад
#Live: UAPISHO WA MKUU MPYA WA WILAYA MOMBA
UVCCM SONGWE Waiomba Serikali Kuufungia Mtandao X kwa Kukiuka Maadili ya KITANZANIA
Просмотров 214День назад
UVCCM SONGWE Waiomba Serikali Kuufungia Mtandao X kwa Kukiuka Maadili ya KITANZANIA
AUAWA Kikatili kwa KUCHOMWA MOTO MBOZI
Просмотров 435День назад
AUAWA Kikatili kwa KUCHOMWA MOTO MBOZI
HALI Mbaya WIZI wa Fedha Tunduma, RC CHONGOLO Awaka Waliotafuna Fedha KUZITAPIKA
Просмотров 926День назад
HALI Mbaya WIZI wa Fedha Tunduma, RC CHONGOLO Awaka Waliotafuna Fedha KUZITAPIKA
MOTO WA AJABU Waibuka Tunduma WAteketeza NYUMBA
Просмотров 856День назад
MOTO WA AJABU Waibuka Tunduma WAteketeza NYUMBA
WAZIRI SILAA Awaasa Watanzania Kuandika WOSIA Kuepuka MIGOGORO ya Kifamilia
Просмотров 7514 дней назад
WAZIRI SILAA Awaasa Watanzania Kuandika WOSIA Kuepuka MIGOGORO ya Kifamilia
MWANANCHI Aelekwezwa KWENDA Kununua DAWA DUKA Lililopo Karibu KITUO cha Afya ,RC SONGWE Atoa Maagizo
Просмотров 25314 дней назад
MWANANCHI Aelekwezwa KWENDA Kununua DAWA DUKA Lililopo Karibu KITUO cha Afya ,RC SONGWE Atoa Maagizo
WAZIRI SILAA Apiga Marufuku Mabango ya VIWANJA VINAUZWA
Просмотров 16014 дней назад
WAZIRI SILAA Apiga Marufuku Mabango ya VIWANJA VINAUZWA
BANDARI YA TUNDUMA Yamuibua WAZIRI SILAA Atoa Siku 14 WANANCHI Waanze Kulipwa FIDIA
Просмотров 1,2 тыс.14 дней назад
BANDARI YA TUNDUMA Yamuibua WAZIRI SILAA Atoa Siku 14 WANANCHI Waanze Kulipwa FIDIA
#LIVE USIKU HUU RC CHONGOLO Anazungumza na WANANCHI"Alaani Vitendo vya Ubakaji,Ulawiti,MIMBA ZA UTOT
Просмотров 22614 дней назад
#LIVE USIKU HUU RC CHONGOLO Anazungumza na WANANCHI"Alaani Vitendo vya Ubakaji,Ulawiti,MIMBA ZA UTOT
MWANANCHI "Msitupatie MAJIBU Mepesi Mno Kwenye Mambo NYETI
Просмотров 18114 дней назад
MWANANCHI "Msitupatie MAJIBU Mepesi Mno Kwenye Mambo NYETI
SAKATA la STENDI MLOWO Lachukua Sura MPYA! RC CHONGOLO Aliamsha DUDE
Просмотров 80914 дней назад
SAKATA la STENDI MLOWO Lachukua Sura MPYA! RC CHONGOLO Aliamsha DUDE
Uongo mtupu nyinyi mashetan munayonyinyi.
Pole sana mpendwa mwenyezi mungu akufanyie wepesi ktk kipindi hiki kigumu
Poleni sana..hakika amepanda mbegu bora kwa familia na jamii kwa ujumla. Aneacha alama isiyofutika, Mungu awe faraja kwa familia. Nimependa ujasiri Mungu aloweka ndani yenu. Mungu awatunze sana. Mfanye yale mema alowaasa tena bidii na kuzidi sana.
Acha walie maisha bila bb sio maisha
Ongereni wensangu Sana lasima hiyo
Pole sana kwa familia!Mungu awe faraja kwenu
Poleni sana wanafamilia kwa hakika Inaumiza sana Pumzika kwa amani kiongozi!!!
Victor na wadogo poleni Sana Nizia pole Sana dada yangu Mungu akupe faraja katika kipindi hiki kigumu
Upumzike kwa amani ndg yetu muumini mwenzetu wa parokia ya Mt Rita goba dar tutakukumbukuka daima kwa sala na mchango ktk parokia yetu nenda salama baba
Inauma sana
Mpendwa Kaka yetu Tixon Nzunda, Mwenyezi Mungu akupe pumzika la amani mbinguni. Umetutangulia nasi tuko nyuma yako. Ulikuwa kiongozi mchapakazi, hukuwa kiongozi wa kwenye mitandao kujitangaza uliyokuwa unayafanya. Hakika umekuwa kiongozi Bora na mfano wa kuigwa na sisi wachache tuliojifunza kutoka kwako. Mwanga wa milele umkupe ee Bwana, apumzike kwa Amani.
Mau mingi ZAMBE pesa lupemba family
Pole Sana dadayangu,,, Mwenyezi Mungu yupo nawe,,
Pole dada Mungu ni mwema akutunze sana haya mambo ni magumu mno
Poleni Sana ndugu Kama popote mlipo
Pamoja na kuwa kiongoz lakin naamini familia ya Ras ililea watoto vizur
Yaani haya mambo ni magumu sana hayana mtalaam pole dada yangu poleni watt wangu mungu na akasimame na hii familia nimelipa mpaka japo siwajui nimeumia sana yaani utaalam wa hili hamna
Poleni sana wapendwa,Mungu awafariji ktk wakati huu mgumu
Mtieni mama moyo sana msiwe kikwazo kwa mama asije akaugua presha akawaacha
Watoto jamani🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻😭😭😭😭
Madereva wa serikari bado Ni tatizo,
Haah yakusikia tu watu
Haki nimelia kufiwa kubaya sikia tu kwa jirani,,,,,inauma sana Mungu akufariji sana
Jmn hawa watoto wamenikumbusha mbali maisha bila baba dahh😭😭😭😭😭😭
Poleni sana, Mungu ni mwema . Atawapa watu wa kuwashika Mkono. POLENI SANA WATOTO WAZURI. MKAWE FARAJA KWA MAMA YENU.
Poleni sana Mungu wa mbinguni awape nguvu katika kipindi hiki kigumu nimekuwa nae mwaka Jana pale makulu
Poleni sanaa Mungu azidi kuwa faraja kwenu family
Hicho kikombe jamani kukinywa ngumu sana. Mumeo hata angekuaje!!!! Ni mtu wa pekee sana katika haya maisha. Acha kabisa omba isikukute
Mwanachuo mwenzetu KTC pumzika kwa amani
Watoto hawajui kiswahili,anaongea kama anasoma
Hvi hajawah kuwa hakimu uyu?
Kufiwa na mume unae lala nae kazi sana sikia tu kwa jilan omba sikukute kuzowea ni kazi wengine tumeachwa nikiwa bado mdogo
Kabisa cc tulokwisha pitia huko tunajua hili
Pole sana mama Nzunda na familia yako. Mungu pekee ndo mfariji
Mungu awafariji huyu kiongozi sijawahi kufanya nae kazi kabisa wala sijawahi kumuona Live zaidi ya kwenye kazi mtandaoni lakini kifo hiki kinaniumiza sana Mungu awe faraja kwenu na mama yenu pia.
Pole sana mjane mwenzangu naijua hiki kikombe omba sana usikinyweee mume anauma miaka mitatu sasa ya ujane ila kama jana.kikombe cha ujane jamanii😢
Acha KBS ndg yangu,,,Yani tuliopitia haya,,,,tunafeel jinsi anavyojisikia
Pole Mpendwa Mungu aendelee kuwa Mfariji wako
@@furahamwatwinza9560 kabisa mume anauma jamani😭
Inauma sana Mimi pia miaka 3 sasa yaani kuna wakati network kichwani zinakata asikuambie mtu
Poleni sana wanangu mpendane na msikilizeni mama yenu ili afaridike
Tuyangine uwiiii ndugu yangu kabisa mwemwe wote njiya ni moja
Unaakili wewe kijana umeona ushukru kwa kirugha Sisi wanyiha hopo umeonesha adabu kweli Mungu awatunze
Poleni watoto wazuri mmutunze mama yenu asijisikie mkiwa
Dogo ni jembe
Yaani ni jambo la kumshukuru Mungu, kijana atamfariji sana mama
Pole sana Mjane, watoto, familia, ndugu jamaa na marafiki. Mungu mwenyewe awafariji na kuwatunza.
Poleni wanafamilia ya Nzunda
Polen Wana familia polen Wana mkoa wa songwe
Bismillah! Sasa tusubiri kutembea kwenye madimbwi na mahandaki barabarani! Wakandarasi wazawa tena??? Yale yaleeeee tunarudia
😅😅😅😂😂😂😊😊😊🙆♂️🙆♂️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Aiseeee mnaua sana binadamu wenzenu mnaua kama kuku kweli nimechoka
Duuuuh inauma hata kulia unashindwa yan cjui mtu kafa kwa shida
Hakuna kitu hapo ni aibu tu aliona ataongelea wapi ataanzaje sasa kajiangusha watu wabaki midomo wazi tunaijuwa hiyo😂
Ni mapapo ngani mungu, sahidiya mu ibandi wako
Mapepo yanataka asivuke sketi Kelli?? Kaivuta sketi kimyakimya
Pore..sans